Isaiah 64:1-2

1 aLaiti ungelipasua mbingu na kushuka chini,
ili milima ingelitetemeka mbele zako!

2 bKama vile moto uteketezavyo vijiti
na kusababisha maji kuchemka,
shuka ukafanye jina lako lijulikane kwa adui zako,
na kusababisha mataifa yatetemeke mbele zako!
Copyright information for SwhKC